Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana


Episode Artwork
1.0x
0% played 00:00 00:00
Mar 20 2024 10 mins  

Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake