Rais Tshisekedi awarai vijana wajiunge na jeshi kupambana na M23


Episode Artwork
1.0x
0% played 00:00 00:00
Jan 30 2025 6 mins   2
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, amewarai vijana kujiunga kwa wingi na jeshi la taifa kusaidia kupambana na waasi wa M23 wanaojaribu kukamata maeneo makubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo.