Bw Omari "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"


Episode Artwork
1.0x
0% played 00:00 00:00
Feb 02 2025 12 mins   1
Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.